lf.bevel
MWANZO CHAMA SERA KATIBA TUUNGE MKONO UCHAGUZI TUWASILIANE
banner
Habari za Uchaguzi
»Jiandae kwa 2010
»Jiandae kwa 2009
»Ilani ya 2005
»Utekelezaji wa Ilani
»Ripoti ya Uchaguzi
»Gharama za 2005
»Matokeo kura Urais
»Matokeo Ubunge
»Matokeo kimkoa
»Kura za Awali
»Kampeni
b.part
Barua Pepe
jina la mtumiaji:
neno-siri
rt.bt.spc
bt.part2

Mwaka mmoja tangu kuingia madarakani
Serikali ya CHADEMA ina ahidi kufanya yafuatayo:

Elimu
  1. Bajeti ya elimu kuongezeka kutoka 18% hadi 35%, kuongeza ajira za waalimu na kuboresha mishahara ya waalimu.


Afya
  1. Kufuta VAT kwenye huduma na vifaa vya kina mama waja wazito na watoto.

  2. Madawa ya kurefusha maisha kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi kugawiwa kwa wote walioathirika.

  3. Kupandisha mishahara ya madaktari na wauguzi.


Kilimo
  1. Kufuta kodi zote pamoja na VAT kwa pembejeo za kilimo.

  2. Kuweka mpango thabiti wa kutofautisha ardhi kwa ajili ya umwagiliaji.


Uchumi
  1. Bajeti 2006/07 kupunguza VAT iwe 16%.

  2. Kufanya mapitio ya mikataba yote ya uwekezaji na ubinafsishaji.

  3. Tanzania kujiunga upya na COMESA.

  4. Kutengeneza ajira milioni moja kwa kufanya mabadiliko makubwa katika sekta za madini, utalii, ujenzi na huduma za jamii.


Mfumo wa Utawala Bora
  1. Kurudisha serikalini mali zote zilizochangwa na wananchi na kuhodhiwa na CCM kama viwanja vya mpira na majengo yanayotumiwa na CCM n.k.

  2. Kupiga marufuku uuzaji wa nyumba za Serikali na kurejesha zilizokwisha uzwa kiupendeleo.

  3. Kuvunja PCB na kuweka majukumu yote ya kupigana na rushwa chini ya Mkurugenzi wa makosa ya Jinai (DCI).

  4. Kuboresha maisha ya kina mama kwa kuwawezesha kielimu na kuwapa nafasi katika utawala.
lf.curl lf.curl2 rt.curl2 rt.curl