Maelelezo ya taratibu za Uendeshaji wa Uchaguzi ndani ya chama
Ngazi ya Msingi na Tawi (Katiba ya chama ibara ya 11.1)
I. Utangulizi
Kwa mujibu wa azimio la Mkutano Mkuu wa Agosti 2006, na azimio la Baraza Kuu la tarehe 18/12/2007, mwaka 2008 utakuwa ni mwaka wa uchaguzi ndani ya chama.
Ratiba ya uchaguzi ambayo imeandaliwa na Baraza Kuu la chama katika kikao chake cha tarehe 18/12/2007 ni kama ilivyo hapa chini:-
|
|
|
|
|
|
|
| Ngazi ya Chama |
Tarehe ya Kuanza |
Tarehe ya Kumaliza |
|
|
| 1 |
| Msingi (miezi miwili) |
1/2/2008 |
31/3/2008 |
|
| 2 |
| Matawi (miezi miwili) |
1/5/2008 |
31/6/2008 |
|
| 3 |
| Kata/Wadi (mwezi mmoja) |
1/8/2008 |
30/8/2008 |
|
| 4 |
| Jimbo (wilaya jimbo moja) (siku 20) |
1/10/2008 |
20/10/2008 |
|
| 5 |
| Wilaya (zaidi ya Jimbo moja) (siku 10) |
20/11/2008 |
30/11/2008 |
|
| 6 |
| Mikoa (siku sita – 6) |
5/12/2008 |
10/12/2008 |
|
| 7 |
| Kanda (majimbo) |
Maelekezo kutolewa baadaye |
|
| 8 |
| Kamati Kuu (siku ya Ijumaa) |
12/12/2008 |
- |
|
| 9 |
| Baraza Kuu (siku ya Jumamosi) |
13/12/2008 |
- |
|
| 10 |
| Mkutano Mkuu (siku ya Jumapili) |
14/12/2008 |
|
|
|
|
|
Uchaguzi wa chama utafanyika kwa mujibu wa katiba mpya ya chama toleo la 2006 pamoja na kanuni zake.