lf.bevel
MWANZO CHAMA SERA KATIBA TUUNGE MKONO UCHAGUZI TUWASILIANE
banner
Seza Zingine
Sera ya Afya
Sera ya Ajira
Sera ya Ardhi
Sera ya Biashara
Sera ya Demokrasia
Sera ya Elimu
Sera ya Kilimo
Sera ya Madini
Sera ya Maji
Sera ya Mazingira
Sera ya Michezo
Sera ya Mifugo
Sera ya Miundombinu
Sera ya Rasilimali
Sera ya Uchumi
Sera ya Ulinzi
Sera ya Utamaduni
Sera ya Utawala
Sera ya Utawala Bora
Sera ya Vijana
Sera ya Viwanda
b.part
Barua Pepe
jina la mtumiaji:
neno-siri
rt.bt.spc
bt.part2
Sera ya Viwanda

Hali mbaya sana, kwa nini?

  1. Viwanda vimeuwawa kufuatia utawala mbovu.
  2. Vichache vilivyobaki vimemilikishwa na wageni.
  3. Hakuna sera dhabiti ya maendeleo ya viwanda.
  4. Hakuna sera ya kulinda viwanda vya ndani.
  5. Viwanda vidogovidogo huko Vijijini havijalwi.

Serikali ya CHADEMA itatatua tatizo la Viwanda kwa kufanya yafuatayo

  1. Tutatoa kipaumbele kwenye viwanda vya bidhaa za kilimo.
  2. Tutaimarisha SIDO kuwawezesha wananchi kuanzisha viwanda vidogovidogo vya usindikaji katika maeneo ya vijijini.
  3. Tutaimarisha VETA kutao mafunzo ya ufundi kwa vijana wetu wa kike na wa kiume.
  4. Tutalinda viwanda vya ndani mpaka vikue ili viweze kushindana.
  5. Tutatunga sera dhabiti za maendeleo ya viwanda na hasa viwanda vidogovidogo vya wananchi.
lf.curl lf.curl2 rt.curl2 rt.curl