lf.bevel
MWANZO CHAMA SERA KATIBA TUUNGE MKONO UCHAGUZI TUWASILIANE
Seza Zingine
Sera ya Afya
Sera ya Ajira
Sera ya Ardhi
Sera ya Biashara
Sera ya Demokrasia
Sera ya Elimu
Sera ya Kilimo
Sera ya Madini
Sera ya Maji
Sera ya Mazingira
Sera ya Michezo
Sera ya Mifugo
Sera ya Miundombinu
Sera ya Rasilimali
Sera ya Uchumi
Sera ya Ulinzi
Sera ya Utamaduni
Sera ya Utawala
Sera ya Utawala Bora
Sera ya Vijana
Sera ya Viwanda
b.part
Barua Pepe
jina la mtumiaji:
neno-siri
rt.bt.spc
bt.part2
Sera ya Mifugo

Mifugo yetu imesahaulika?

  1. Tanzania ni nchi ya tatu kwa wingi wa mifugo barani Afrika.
  2. Makabila ya wafugaji hayasaidiwi kuwa wafugaji wa kisasa.
  3. Mchango wa ufugaji katika pato la Taifa bado ni mdogo mno.
  4. Watalaam wa mifugo wanaozalishwa na vyuo vyetu hawakidhi haja na waliopo hawatumiki ipasavyo.
  5. Maeneo ya wafugaji yametelekezwa – hakuna huduma za kijamii kama maji, shule.
  6. Sekta ya usindikaji ya mazao ya mifugo imeuwawa.
  7. Uuzaji wa mazao ya mifugo nje ya nchi umedorora.

Serikali ya CHADEMA itafanya nini kuboresha maisha ya wafugaji?

  1. Tutarejesha viwanda vyote vya usindikaji wa mazao ya mifugo – mfano Tangayika Packers.
  2. Tutafufua soko la nje la mazao yatokanayo na mifugo.
  3. Tutatoa motisha kwa watalaamu wa mifugo.
  4. Tutaboresha huduma za jamii katika maeneo ya mifugo.
  5. Tutaelekeza halmashauri za wilaya kujenga majosho.
  6. Tutatoa chanjo za mifugo bure.
  7. Tutaimarishaji uzalishaji wa kuku wa kienyeji katika mikoa ya kanda ya kati kukidhi hususan haja ya soko la utalii.
lf.curl lf.curl2 rt.curl2 rt.curl