lf.bevel
MWANZO CHAMA SERA KATIBA TUUNGE MKONO UCHAGUZI TUWASILIANE
banner
Seza Zingine
Sera ya Afya
Sera ya Ajira
Sera ya Ardhi
Sera ya Biashara
Sera ya Demokrasia
Sera ya Elimu
Sera ya Kilimo
Sera ya Madini
Sera ya Maji
Sera ya Mazingira
Sera ya Michezo
Sera ya Mifugo
Sera ya Miundombinu
Sera ya Rasilimali
Sera ya Uchumi
Sera ya Ulinzi
Sera ya Utamaduni
Sera ya Utawala
Sera ya Utawala Bora
Sera ya Vijana
Sera ya Viwanda
b.part

Sera ya Mazingira

Hali ikoje kwa mazingira yetu?

  1. Mazingira ya mijini ni machafu sana – huduma za uzoaji taka na usafishaji miji ni hafifu, miundombinu ya maji taka haifai.
  2. Jangwa lazidi kujongea na mvua sio za uhakika tena.
  3. Wawekezaji hususan wa maeneo ya madini na viwanda, wanaharibu mazingira.

Serikali ya CHADEMA itafanya nini kuboresha mazingira?

  1. Itaanzisha mashindano ya usafi wa mazingira na bustani za mapumziko kwa halmashauri za wilaya.
  2. Itahamasisha kila Mtanzania apande na kulea mti mmoja kila mwaka.
  3. Sheria zatatungwa kulazimisha wawekezaji kutunza mazingira hususan, maeneo ya machimbo ya madini
  4. Utunzaji wa mazingira itakuwa ni jukumu la serikali za Mitaa na serikali kuu itashughulikia sera na kusimamia utekelezaji wa sera tu.
lf.curl lf.curl2 rt.curl2 rt.curl