lf.bevel
MWANZO CHAMA SERA KATIBA TUUNGE MKONO UCHAGUZI TUWASILIANE
banner
Mikakati ya Chama
»CHADEMA ni msingi
»Kuandaa Viongozi
»Wabunge/Madiwani
»Kueneza Sera
»Mfumo wa uchaguzi
»Elimu ya siasa
»Makao Makuu
»Chaguzi zijazo
b.part
Mengineyo
»Habari Mpya
»Makala mbalimbali
»Midahalo
»Blogu za wanachama
»Picha za matukio
»Maoni Yenu
b.part

Mpango Mkakati wa Pili kwa 2006 -2010

Kutambua, kulea na kuandaa viongozi wa baadaye wa serikali na chama kwa kuwajengea uwezo wa kiuongozi na kitaaluma.
  1. Katika kipindi cha miaka mitano mafunzo yatapewa kipaumbele katika maeneo mbalimbali.

  2. Kutambua,kujenga mawasiliano na kuwaandaa wagombea watarajiwa mapema na Kuhakikisha chama kinashinda katika chaguzi ndogo zitakazojitokeza hususani katika ngazi ya ubunge.

  3. Kuhamasisha vijana kujiunga na CHADEMA, wengine kugombea uongozi na mkazo utawekwa katika kuwapa vijana mbinu na mafunzo ya kisiasa hususani katika ngazi za chini.

  4. Mkazo uwekwe kuhakikisha wanawake wengi wanajiunga na CHADEMA na kuandaliwa kupenya katika uongozi na kuwa mhimili muhimu wa chama wakati wa chaguzi mbalimbali.



lf.curl lf.curl2 rt.curl2 rt.curl