 |
 |
|
 |
 |
 |
|
 |
|
|
|
|
|
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama mbadala kinachokua na kinachoongozwa kwa Falsafa ya “Nguvu ya Umma” na kuamini katika itikadi ya “Mrengo wa Kati”. CHADEMA kinataka Watanzania waelewe kuwa Mabadiliko ya kweli yataletwa kwa kubadilisha mfumo mzima wa utawala. Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi walewale, wa chama kilekile, chenye uoza uleule, wakiendeleza yaleyale kwa ari, nguvu na kasi mpya. Haya yamethibitishwa na Serikali ya awamu ya nne kwani sera na juhudi zao zimeambulia kutuletea usanii mpya, maahadi mapya na hakuna jipya; Kwao maisha bora ni kwa kila fisadi! |
|
|
|
 |
 |
|
|
Taarifa juu ya Hali tete Zimbabwe |
|
|
|
|
|
Tunawataka wananchi wa Tanzania kwa ujumla wetu tushikamane na wananchi wa Zimbabwe na kuitaka serikali kuchukua hatua bila kujali Itikadi ya Vyama... |
 |
 |
|
 |
 |
 |
|
|
Tamko dhidi ya kauli ya Mkulo |
|
|
|
|
| Tumeshtushwa na kusikitishwa sana na kauli iliyotolewa na Waziri wa Fedha Mhe. Mustafa Mkulo kwamba fedha za EPA hazikuwa za Serikali wala BoT...
|
 |
 |
|
 |
 |
 |
|
|
Bajeti ya Kambi ya Upinzani 2008/09 |
|
|
|
|
|
Hotuba ya kiongozi wa Upinzani Mhe. Hamad Rashid Mohamed (Mb) Wizara ya Fedha kuhusu Makadirio na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2008/2009... |
 |
 |
|
 |
 |
 |
|
|
|
|
|
Tafuta |
|
|
|
|
 |
|
 |
|
|
Habari Mpya
|
|
 |
|
 |
|
|
|
|
|
| Katuni ya wiki |
|
|
|
|
|
|
 |
|
|
|