CHADEMA ilifanya mkutano mkuu wake wa kwanza katika kituo cha Msimbazi kwa siku 3 (kuanzia tarehe 15 hadi 17 Disemba 1992). Mkutano huu ulihudhuriwa na wajumbe kutoka mikoa yote ya Tanzania. Pamoja na mambo mengine, Mkutano Mkuu wa Kwanza ulichagua viongozi wa chama kama ifuatavyo:
| 1. |
Ndg. Edwin Isaac Mbiliewi Mtei |
Mwenyekiti |
| 2. |
Ndg. Ali Suleiman Ahmed |
Makamu mwenyekiti (visiwani) |
| 3. |
Ndg. Brown Ngwilulupi |
Makamu Mwenyekiti (bara) |
| 4. |
Ndg. Bob Nyanga Makani |
Katibu Mkuu |
| 5. |
Ndg. Mustafa. S. Simba |
Naibu Katibu Mkuu (visiwani) |
| 6. |
Ndg. Eric Rashid Mchatta |
Naibu Katibu Mkuu (bara) |
| 7. |
Ndg. Eric Rashid Mchatta |
Katibu Mwenezi |