lf.bevel
MWANZO CHAMA SERA KATIBA TUUNGE MKONO UCHAGUZI TUWASILIANE
banner
Uzinduzi wa Chama
»Utangulizi
»Tumaini Jipya!
»Hotuba ya Uzinduzi
»Mpango Mkakati
»Marekebisho Katiba
»Bendera Mpya
»Kadi Mpya
b.part
Mengineyo
»Habari Mpya
»Makala mbalimbali
»Midahalo
»Blogu za wanachama
»Picha za matukio
»Maoni Yenu
b.part
Barua Pepe
jina la mtumiaji:
neno-siri
rt.bt.spc
bt.part2

WIMBO WA CHADEMA KITAIFA


MUNGU TUSAIDIE, MUNGU TUWEZESHE,
TANZANIA INA KILIO,
WANAO TWATESEKA MAOVU YANASHAMIRI,
NCHI YATEKETEA WATAWALA WANEEMEKA.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo,
Tumaini la ukombozi wa kiuchumi na kisiasa,
Chama cha Demokrasia na Maendeleo,
Chimbuko la fikra mpya nayo mikakati ya utumishi,
Mtetezi wa uhuru, uhuru wa kweli,
Maendeleo ya kweli wanayostahili Watanzania.

Mlinzi wa uzalendo raslimali za taifa la Tanzania,
Jukwaa la harakati kukomesha ufisadi, na uoza wa kimaadili.

KIITIKIO:
WanaCHADEMA tushikamane,
Demokrasia Yawezekana,
WanaCHADEMA tushikamane,
Maendeleo yawezekana,
Watanzania tushikamane,
Mabadiliko Yawezekana.

Wazee na akina Baba (twende),
Vijana na akina mama (amka),
Pamoja tuna umaskini (tuna maisha duni),
Pamoja tuna uchungu,
Watoto nanyi jiungeni (twende),
Tunaweza acheni(acheni) woga x 2

KIITIKIO:
WanaCHADEMA tushikamane,
Demokrasia Yawezekana,
WanaCHADEMA tushikamane,
Maendeleo yawezekana,
Watanzania tushikamane,
Mabadiliko Yawezekana
Nguvu ya Umma, People’s Power!
Nguvu ya Umma, People’s Power!



lf.curl lf.curl2 rt.curl2 rt.curl