 |
 |
|
 |
 |
 |
|
 |
|
|
|
|
|
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama mbadala kinachokua na kinachoongozwa kwa Falsafa ya “Nguvu ya Umma” na kuamini katika itikadi ya “Mrengo wa Kati”. CHADEMA kinataka Watanzania waelewe kuwa Mabadiliko ya kweli yataletwa kwa kubadilisha mfumo mzima wa utawala. Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi walewale, wa chama kilekile, chenye uoza uleule, wakiendeleza yaleyale kwa ari, nguvu na kasi mpya. Haya yamethibitishwa na Serikali ya awamu ya nne kwani sera na juhudi zao zimeambulia kutuletea usanii mpya, maahadi mapya na hakuna jipya; Kwao maisha bora ni kwa kila fisadi! |
|
|
|
 |
 |
|
|
Tamko la Uchaguzi wa Kiteto |
|
|
|
|
|
Kwa manufaa ya watanzania na wanaCHADEMA tunatoa tamko hili baada ya kufanya tathimini ya kina tukiamini kuwa mafunzo yanayopatikana katika uchaguzi wa kiteto... |
 |
 |
|
 |
 |
 |
|
|
Taratibu za Uchaguzi ndani ya chama |
|
|
|
|
|
Kwa mujibu wa azimio la Mkutano Mkuu wa Agosti 2006, na la Baraza Kuu la Desemba 2007, mwaka 2008 utakuwa ni mwaka wa uchaguzi ndani ya chama...
|
 |
 |
|
 |
 |
 |
|
|
Siri ya Ushindi wa Kishindo 2005
|
|
|
|
|
|
Kumekuwepo na ufisadi na/au wizi wa mabilioni ya fedha za umma uliofanyika wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa 2005... |
 |
 |
|
 |
 |
 |
|
|
|
|
|
Tafuta |
|
|
|
|
 |
|
 |
|
|
Habari Mpya
|
|
 |
|
 |
|
|
|
|
|
| Katuni ya wiki |
|
|
|
|
|
|
 |
|
|
|